Thursday, May 17, 2012

Uzinduzi wa Tovuti na Blog ulivyofana Dodoma............




Uzinduzi wa Blog ya Chama ulivyofana Dodoma, tarehe 14-5-2012.
www.ccm.or.tz na www. ccmchama.blogspot.com

Wednesday, May 9, 2012

Majina ya wakuu wa Wilaya Wapya

MAJINA YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 70 NA
VITUO VYAO VYA KAZI-KAMA YALIVYOTOLEWA NA OFISI YA WAZIRI MKUU HII LEO MEI 9, 2012




NA. JINA KITUO CHA KAZI
1. Novatus Makunga Hai

2. Mboni M. Mgaza Mkinga

3. Hanifa M. Selungu Sikonge

4. Christine S. Mndeme Hanang

5. Shaibu I. Ndemanga Mwanga

6. Chrispin T. Meela Rungwe

7. Dr. Nasoro Ali Hamidi Lindi

8. Farida S. Mgomi Masasi


Majina zaidi BOFYA HAPA

Monday, May 7, 2012

Elimu ni nguzo..................


Elimu ni nguzo kuu kwa maisha yetu ya sasa..nawasihi vijana wenzangu ambao wapo vyuoni wasome kwa bidii, mafanikio yapo tu katika maisha na elimu ndio mkombozi.Pichani Daudi Nhung'a mwanafunzi wa kitanzania anyesoma Sheria JSS Law , Mysore India akisoma kwa umakini. Hakuna kitu kizuri kama kuelewa kama elimu ni nguzo, Aidan atakuwa shahidi muda ambao watu tunatumia tukiwa maktaba na kutafuta hazina hiyo muhimu. Nimeandika kwa Uchache, nikijua wadau kama Abdu Mjaka, Idd Haruna Mituro,Hassan Shein,Baraka Kange na wadau wengine wengi wakielewa kwa kina nini nalenga katika ujumbe huu. Ningependa kuwahusia vijana wangu kwamba hamna njia ya kumkato, wengi wamekwama tuliowaona na msidanganyike,Hamad Changale anajua misimamo yangu pale napotoa wasaa mbali mbali kuhusiana elimu na maisha hata rafiki yangu Mringi Petro anajua kwamba elimu bora inasaidia kujenga misingi imara . Sina mengi sana ya kuandika kwa sasa Ingawa karibuni nitakuwa muandishi wa makala kupitia blog yangu na kupitia magazeti mbali mbali.

Mwana Mysore ndani ya Big Brother Africa...........

Mwana Mysore Julio Batalia anawakilisha vyema ndani ya Big Brother africa...............

Saturday, May 5, 2012

ARM RECORDS.....................Studio ya Kisasa

ni studio iliyokuja kufanya mabadiliko ktk gemu ya muziki wa kisasa tunajishughulisha na uandaaji(production) wa nyimbo aina zote kasoro bolingo tunapatika maeneo ya Y/Vituka tunatazamana na shule ya msingi Y/Vituka unakaribishwa sana

Sircillo Khaleed Meneja wa Studio
KGT (kushoto)na Kabo P , Kabo ndio mtayarishaji mkuu wa studio hii.

Friday, May 4, 2012

Baraza Jipya la Mawaziri

RAIS KIKWETE ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
ORODHA YA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI
MAWAZIRI 1. OFISI YA RAIS Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)- Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora) -Ndugu George Mkuchika, Mb., Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI) Ndugu Celina Kombani, Mb.,



2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO) Ndugu Samia H. Suluhu, Mb., Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA) Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,




3. OFISI YA WAZIRI MKUU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Ndugu Mary M. Nagu, Mb., Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) Ndugu Hawa Ghasia, Mb., Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,



4. WIZARA Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Ndugu Samuel J. Sitta, Mb., Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb., Waziri wa Ujenzi Dr. John P. Magufuli, Mb., Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb., Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb., Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ndugu Sophia M. Simba, Mb., Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Ndugu Bernard K. Membe, Mb., Waziri wa Katiba na Sheria Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb., Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb., Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dr. David M. David, Mb., Waziri wa Kazi na Ajira Ndugu Gaudentia M. Kabaka, Mb., Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame M. Mbarawa, Mb., Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna K. Tibaijuka, Mb., Waziri wa Maji Prof. Jumanne Maghembe, Mb., Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Prof. Mark Mwandosya, Mb., Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Eng. Christopher Chiza, Mb., Waziri wa Uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe, Mb., Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fenella E. Mukangara, Mb., Waziri wa Maliasili na Utalii Ndugu Khamis Kagasheki, Mb., Waziri wa Viwanda na Biashara Dr. Abdallah O. Kigoda, Mb., Waziri wa Fedha Dr. William Mgimwa, Mb., Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo, Mb.,



5. NAIBU MAWAZIRI OFISI YA RAIS HAKUNA NAIBU WAZIRI



6. OFISI YA MAKAMU WA RAIS Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais Ndugu Charles Kitwanga, Mb.,




7. OFISI YA WAZIRI MKUU Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) Ndugu Majaliwa K. Majaliwa, Mb., Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) Ndugu Aggrey Mwanry, Mb.,





8. WIZARA MBALIMBALI Naibu Waziri wa Kazi na Ajira Dr. Makongoro M. Mahanga, Mb., Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Ndugu Adam Malima, Mb., Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Ndugu Pereira A. Silima, Mb., Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Gregory G. Teu, Mb., Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Ndugu Benedict N. Ole-Nangoro, Mb., Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Ndugu Mahadhi J. Maalim, Mb., Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye, Mb., Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ndugu Ummy A. Mwalimu, Mb., Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Ndugu Philipo A. Mulugo, Mb., Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr. Abdulla Juma Abdulla, Mb., Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Ndugu Lazaro Nyalandu, Mb., Naibu Waziri wa Ujenzi Ndugu Gerson Lwenge, Mb., Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr. Seif Suleiman Rashid, Mb., Naibu Waziri wa Nishati na Madini Ndugu George Simbachawene, Mb., Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Ndugu January Makamba, Mb., Naibu Waziri wa Uchukuzi Dr. Charles J. Tizeba, Mb., Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Ndugu Amos Makala, Mb., Naibu Waziri wa Maji Eng. Dr. Binilith Mahenge, Mb., Naibu Waziri Nishati na Madini Ndugu Stephen Maselle, Mb., Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Ndugu Angela Jasmine Kairuki, Mb., Naibu Waziri wa Fedha Ndugu Janet Mbene, Mb., Naibu Waziri wa Fedha Ndugu Saada Mkuya Salum, Mb., Wataapishwa Jumatatu tarehe 8 Mei, 2012 saa 5.00 asubuhi katika viwanja vya Ikulu Imetolewa na: Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu. Dar es Salaam. 4 Mei, 2012

Friday, April 20, 2012

Maulid..............

Sharepoint Hosting
KARIBU TENA