Sunday, May 15, 2011

Wanafunzi kutoka nchi mbali mbali wagraduate Mysore


Dorina Dennis Towo akipokea cheti chake cha shahada ya B.A

Cecilia Manfred Mtitu akiwa na rafiki yake kutoka China.


Dorina,Cecilia, na Caroline wakiwa kwenye picha ya pamoja na marafiki kutoka Iran

Kutoka kulia:Celestine(Chalii Yangu),Felix na Shweta wakifurahila menu ya nguvu kwenye Graduation ya Fisa-M

Adam H. Mzee, Aidan Kisongo na Mh. Fares Lyimo

Cecilia akiwa katika pozi mwanana.

Fares,Jordan,Ikunda,Daudi,Salome na Dilini

Fares Lyimo akiwa na rafiki yake kutoka China

Mgeni mualikwa Dr.Shaher,Makamu wa Rais wa Vyuo vikuu vya Middle East.

Fares na Adam

Cecilia,caroline na Dorina

Naomi,Ikunda na Salome




Wanafunzi kutoka nchi 14 wamegraduate katika Chuo Kikuu cha Mysore -India , tarehe 14/5/2011.
Nchi hizo ni Jordan,Yemen,Afghanistan,Iran,Uganda,Kenya,Tanzania,USA,Maldives,Somalia,Tajikistan,Sudan,Ethiopia,na China.

2 Comments:

Anonymous emu-three said...

Hongereni sana tena saana, nyie mliograduate na nakupa hongera mwenye blog hii. TUPO PAMOJA DAIMA

May 19, 2011 2:15 AM  
Blogger Mcharia said...

Duh!! Yaaa.

June 19, 2011 4:23 PM  

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home

Sharepoint Hosting
KARIBU TENA